Waziri wa nchi Mhe. Mudrick amekagua ujenzi wa kituo cha kuchakata asali.

Wajasiriamali wanajishughulisha na uzalishaji wa asali nchini wametakiwa kuvitumia vituovinavyojengwa na serikali kwa ajili ya kuendesha shuguli zao kwa ufanisi na kujipatia masoko ya uhakika. Ameyasema hayo na Waziri wa nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrick RamadhanSoraga wakati wa kukagua hatua za ujenzi wa kituo cha kuchakata mazao ya asali kinachojengwa